Tulonge

Kutoka BBC

Viongozi wa AU wasowera tamashani

Viongozi wa AU wahudhuria sherehe kubwa inayofanywa mjini Addis Ababa kukamilisha miaka 50 ya jumuia

 

Members

Blog Posts

Vita ya Wasonjo na Wamasai: Watoto wawili wauawa, mmoja awambwa mtini

Posted by Tulonge on May 26, 2013 at 1:00 0 Comments

MAPIGANO baina ya makabila ya Wasonjo na Wamasai wa Loita kutoka nchini Kenya yanayoendelea katika Kata ya Samunge wilayani Ngorongoro mkoani Arusha yameonesha kiwango cha ukatili binadamu anachoweza kufikiria.

TUKIO LA KWANZA

Taarifa kutoka eneo la mapigano zinasema, mtoto huyo ambaye mifupa yake ilikutwa alifahamika kwa jina la Njibula Philemon (14) kutoka katika eneo la Kisangiro na inasemekana aliuawa na kisha kuwambwa juu ya mti yapata miezi mitatu…

Continue

Tazama wachezaji wa Taifa Stars ndani ya suti kali wakiagwa katika hotel ya New Africa (picha 7)

Posted by Tulonge on May 25, 2013 at 21:00 1 Comment

Baadhi ya wachezaji wa Stars ndani ya suti kali wakiagwa

Timu ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) leo kuanzia saa 12 jioni ilikua ikiagwa katika ukumbi wa New Africa Hotal Dsm tayari kwa safari yake kuelekea Morocco katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia huko…

Continue

Mapacha wazaliwa huku wameshikana mikono kwa saa chache

Posted by Tulonge on May 25, 2013 at 12:42 1 Comment

Hawa ndio mapacha walioshikana mikono kwa saa chache baada ya kuzaliwa na wanaitwa Daniel na Maria wakiwa tayari kuyaanza maisha mapya.

Maajabu ya Dunia, Mapacha wawili waitwao Daniel na Maria wameshikana mikono kwa muda wa saa chache baada tu ya…
Continue

Mmh! huu unene haukua wa kawaida

Posted by Tulonge on May 25, 2013 at 0:13 2 Comments

Ricky Naputi lived less than half a mile from a gorgeous tropical beach on the island of Guam, but he didn't see the beautiful coastline for many years.



Naputi, who died Nov. 10, 2012, at the age of 39, weighed 900 pounds at his peak, and the massive weight made it difficult for him to go to…

Continue

Katuni hii yalidhalilisha Bunge la Tanzania

Posted by Tulonge on May 24, 2013 at 23:30 2 Comments

Waziri wa Afrika Mashariki Mh Samweli Sitta akiwa Bungeni leo amelaani vikali gazeti moja kutoka nchi ya jirani kwa kuruhusu picha hapo juu ambayo imelidhalilisha bunge la tanzania.

Mh Sitta ametoa kauli hiyo leo asubuhi wakati akisoma hotuba ya bajeti ya wizara ya afrika mashariki kwa mwaka 2013/2014.

Sitta…

Continue

Anaye daiwa kuchochea vurugu na fujo nchini akamatwa

Posted by Tulonge on May 24, 2013 at 23:00 0 Comments

Jeshi la Polisi Nchini linamshikilia mtu mmoja ambaye jina lake linahifadhiwa kwa sababu za kiupelelezi kwa tuhuma za kueneza ujumbe wa uchochezi na chuki kwa wananchi na viongozi wa serikali kwa njia ya simu ya mkononi akituma SMS kwa lengo la…

Continue

Zitto Kabwe "Wana Mtwara wasifia JWTZ, wawaponda polisi kwa kuzidisha furugu zaidi"

Posted by Tulonge on May 24, 2013 at 12:46 3 Comments

Huu ni ujumbe wa Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Twitter baada ya kuongea na wananchi wa Mtwara kuhusu vurugu zilizotokea.

Buriani marehemu Chinua Achebe

Posted by Tulonge on May 24, 2013 at 11:43 0 Comments

Melfu ya waombolezaji walijitokeza kwa mazishi ya mwandishi mashuhuri wa nchi hiyo marehemu Chinua Achebe, katika jimbo la Anambra.

Wageni mashuhuri akiwemi, rais Goodluck Jonathan pia hawakuachwa nyuma,

Mamia ya watu walikusanyika kanisani baadhi wakivalia mavazi ya kitamaduni yenye picha ya…

Continue

Chat

Active Conversations

Disconnected (1 online)

    Disconnected

    You are disconnected from chat. Connect to join the chat.

    Suspended From Chat

    Sign up to chat on Tulonge.

    Sign Up

     
     
     

    Nguvu ile ile itumikayo kuchangia HARUSI tuitumie na huku kwa watoto yatima.
    MAONI

    Photos

    Loading…
    • Add Photos
    • View All

    BLOGs NYINGINE

    Forum

    TULONGE FUNGA/FUNGUA MWAKA PARTY.

    Started by Cha the Great in JAMII. Last reply by Mathias Mlumba Kiyora May 14. 30 Replies

    OPPORTUNITY IS NOW

    Started by CAESAR KIHORO in JAMII May 3. 0 Replies

    Utafanyaje ukikutana na hali hii???

    Started by Mama Malaika in JAMII. Last reply by Omary Apr 21. 17 Replies

    Best skin firmness cream

    Started by Stephany in JAMII Mar 31. 0 Replies

    natafuta figo

    Started by Chris deol in JAMII. Last reply by Omary Mar 15. 19 Replies

    MPENDE MAMA

    Started by Omary in MAPENZI. Last reply by Georgia Mushashu Mar 14. 8 Replies

    HEBU CHEKI ABILIA HUYA ALIYVO NA VITUKO

    Started by Kayay Faiz Junior in VUNJA MBAVU. Last reply by KUNAMBI Jr Mar 14. 7 Replies

    © 2013   Created by Tulonge.

    Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service