Posted by Tulonge on May 26, 2013 at 1:00 0 Comments 0 Likes
MAPIGANO baina ya makabila ya Wasonjo na Wamasai wa Loita kutoka nchini Kenya yanayoendelea katika Kata ya Samunge wilayani Ngorongoro mkoani Arusha yameonesha kiwango cha ukatili binadamu anachoweza kufikiria.
TUKIO LA KWANZA
Taarifa kutoka eneo la mapigano zinasema, mtoto huyo ambaye mifupa yake ilikutwa alifahamika kwa jina la Njibula Philemon (14) kutoka katika eneo la Kisangiro na inasemekana aliuawa na kisha kuwambwa juu ya mti yapata miezi mitatu…
ContinuePosted by Tulonge on May 25, 2013 at 21:00 1 Comment 0 Likes
Baadhi ya wachezaji wa Stars ndani ya suti kali wakiagwa
Timu ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) leo kuanzia saa 12 jioni ilikua ikiagwa katika ukumbi wa New Africa Hotal Dsm tayari kwa safari yake kuelekea Morocco katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia huko…
ContinuePosted by Tulonge on May 25, 2013 at 12:42 1 Comment 0 Likes
Hawa ndio mapacha walioshikana mikono kwa saa chache baada ya kuzaliwa na wanaitwa Daniel na Maria wakiwa tayari kuyaanza maisha mapya.
Posted by Tulonge on May 25, 2013 at 0:13 2 Comments 0 Likes
Ricky Naputi lived less than half a mile from a gorgeous tropical beach on the island of Guam, but he didn't see the beautiful coastline for many years.
Naputi, who died Nov. 10, 2012, at the age of 39, weighed 900 pounds at his peak, and the massive weight made it difficult for him to go to…
Posted by Tulonge on May 24, 2013 at 23:30 2 Comments 0 Likes
Waziri wa Afrika Mashariki Mh Samweli Sitta akiwa Bungeni leo amelaani vikali gazeti moja kutoka nchi ya jirani kwa kuruhusu picha hapo juu ambayo imelidhalilisha bunge la tanzania.
Mh Sitta ametoa kauli hiyo leo asubuhi wakati akisoma hotuba ya bajeti ya wizara ya afrika mashariki kwa mwaka 2013/2014.
Sitta…
ContinuePosted by Tulonge on May 24, 2013 at 23:00 0 Comments 0 Likes
Jeshi la Polisi Nchini linamshikilia mtu mmoja ambaye jina lake linahifadhiwa kwa sababu za kiupelelezi kwa tuhuma za kueneza ujumbe wa uchochezi na chuki kwa wananchi na viongozi wa serikali kwa njia ya simu ya mkononi akituma SMS kwa lengo la…
Posted by Tulonge on May 24, 2013 at 12:46 3 Comments 0 Likes
Posted by Tulonge on May 24, 2013 at 11:43 0 Comments 0 Likes
Melfu ya waombolezaji walijitokeza kwa mazishi ya mwandishi mashuhuri wa nchi hiyo marehemu Chinua Achebe, katika jimbo la Anambra.
Wageni mashuhuri akiwemi, rais Goodluck Jonathan pia hawakuachwa nyuma,
Mamia ya watu walikusanyika kanisani baadhi wakivalia mavazi ya kitamaduni yenye picha ya…
ContinueStarted by Cha the Great in SANAA NA MICHEZO. Last reply by Tulonge 6 hours ago. 1 Reply 0 Likes
Started by Tulonge in JAMII. Last reply by Bonielly on Monday. 14 Replies 0 Likes
Started by Cha the Great in JAMII. Last reply by Mathias Mlumba Kiyora May 14. 30 Replies 0 Likes
Started by Zainabu Hamis in MAPENZI. Last reply by manka May 14. 61 Replies 0 Likes
Started by Mama Malaika in JAMII. Last reply by Omary Apr 21. 17 Replies 1 Like
Started by Kayay Faiz Junior in VUNJA MBAVU. Last reply by Dixon Kaishozi Apr 18. 1 Reply 0 Likes
Started by Mama Malaika in JAMII. Last reply by Dixon Kaishozi Apr 9. 5 Replies 0 Likes
Started by Chris deol in JAMII. Last reply by Omary Mar 15. 19 Replies 0 Likes
Started by Omary in MAPENZI. Last reply by Georgia Mushashu Mar 14. 8 Replies 1 Like
Started by Kayay Faiz Junior in VUNJA MBAVU. Last reply by KUNAMBI Jr Mar 14. 7 Replies 1 Like
© 2013 Created by Tulonge.