Tulonge

Kutoka BBC

Kisa na Mkasa na Salim Kikeke

Mikasa na vituko duniani wiki hii

Longa usikike

Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

Videos

  • Add Videos
  • View All
 

Members

Blog Posts

Leo (01 Juni) ni siku ya watoto Duniani.Una kipi cha kumwambia mwanao/wanao?

Posted by Tulonge on June 1, 2012 at 6:30am 1 Comment

Una kipi cha kumwambia mwanao/wanao ikiwa leo ni siku ya watoto Duniani? Pata historia yake kwa kifupi hapo chini.

"The World Conference for the Well-being of Children in Geneva, Switzerland, proclaimed June 1 to be International Children's Day in 1925. It is usually marked with…

Continue

Hili ndilo jengo kama samaki lililopo jiji la Hyderabad India

Posted by Tulonge on June 1, 2012 at 1:00am 1 Comment

National Fisheries Development Board Building Hyderabad

A general view shows the newly opened National Fisheries Development Board (NFDB) building, designed to resemble a fish, in Hyderabad on April 20, 2012.

The NFDB building has been constructed at a…

Continue

Diamond asema alichokipata baada ya ku-perform Big Brother Africa

Posted by Tulonge on June 1, 2012 at 12:00am 0 Comments

Siku nne baada ya kuperform kwenye shindano la Big Brother Afrika, staa wa muziki Tanzania ambae ndio anaongoza kwa kupiga showz nyingi na zenye hela ndefu, Diamond Platnums amesema baada ya performance yake kuonekana tayari tayari milango mingine ya mafanikio imefunguka.

Amesema “nimepata vitu vingi, imenitengenezea…

Continue

P.Square waeleza sababu ya kununua ndege (jet) yao binafsi

Posted by Tulonge on May 31, 2012 at 11:00pm 1 Comment

Jude Okoye ambaye kaka wa mapacha (Peter and Paul Okoye) wanaounda kundi la mzuki la P.Square amesema sababu ya mapacha hao kununua ndege binafsi ni kuweza kurahisisha kazi zao za kimuzikina kwenda sawa na ratiba yao. Itakuwa ni rahisi kwao kufika haraka maeneo mbali mbali kwa ajili ya kurodi videos zao na kufanya…

Continue

Derby: Wazazi waliopoteza watoto 6 kwa ajali ya moto, washukiwa kuwa wao ndiyo chanzo cha moto huo.Petrol yahisiwa kutumika kuwasha moto huo.

Posted by Tulonge on May 31, 2012 at 10:00pm 1 Comment

Mick na Mairead Philpott(wazazi) ambao kwa sasa ni

watuhumiwa wa mauaji hayo.

Si mbaya mkipata habari hii kwa maelezo ya mdau wa tulonge hapo…

Continue

Frank Lampard aachwa kwenye kikosi cha England, nafasi yake kuchukulia na Jordan Henderson

Posted by Tulonge on May 31, 2012 at 10:00pm 1 Comment

Kiungo wa Chelsea na England Frank Lampard amefeli kuweza kupona majeraha yake ya paja na ameondolewa kwenye kikosi cha England kitakachoshiriki michuano ya Euro 2012 nchini Poland na Ukraine.Lampard, 33, alipata majeraha hayo kwenye mazoezi jana na alipewa taarifa mbaya na jopo la madaktari kufuatia vipimo…

Continue

WANAUME NI WAONGO WA ASILI

Posted by Tulonge on May 31, 2012 at 10:00pm 1 Comment

Wanaume wanao "cheat" wanaamini kusema ukweli kuhusiana na cheating zao ni wazo baya sana.

Wanaume hawa hudanganya wake zao, washauri wao, wanaume wenzao, wachungaji wao, wazazi wao, ndugu zao na kila mtu anayopita katika anga zao.

Wanaume hawa hudanganya hadi wanahakikisha uwongo wao wote umeisha na hawana…

Continue

Hii ndiyo Barua ya Michael Jackson kwa Mkewe wa zamani (Lisa) ikieleza utata wa afya yake kati ya mwaka 1993 na 1996

Posted by Tulonge on May 30, 2012 at 11:00pm 5 Comments

Barua ya Michael Jackson aliyoandika kwenda kwa Lisa Marie Presley(his former wife) akilalamika kuhusu tatizo ambalo pengine ndilo lililosababisha kifo cha Mfalme huyo wa Pop Duniani imetua rasmi mezani mwa kampuni ya mnada.

Lisa Marie hakusema kwanini anataka barua hiyo inadiwe, lakini ni dhahiri kwamba…

Continue

Chat

Active Conversations

Disconnected (5 online)

    Disconnected

    You are disconnected from chat. Connect to join the chat.

    Suspended From Chat

    Sign up to chat on Tulonge.

    Sign Up

     
     
     

    Nguvu ile ile itumikayo kuchangia HARUSI tuitumie na huku kwa watoto yatima.

     

    MAONI

    Latest Activity

    Tulonge commented on Tulonge's blog post WANAUME NI WAONGO WA ASILI
    "Hii kali, najua wanaume wengi tumeguswa na hili. Hiyo sababu ya mwisho "WANAUME AMBAO NI…"
    51 minutes ago
    Tulonge shared their blog post on Twitter
    59 minutes ago
    Tulonge commented on Tulonge's blog post Leo (01 Juni) ni siku ya watoto Duniani.
    "Nakupenda sana My Doreen, nina ahidi kukulea katika maadili mema na kukutimizia mahitaji yako yote…"
    1 hour ago
    Tulonge posted blog posts
    1 hour ago

    Forum

    USHOGA

    Started by maembe79 in MAPENZI. Last reply by maembe79 May 25. 7 Replies

    Wadau wa Tulonge mnasemaje kuhusu hii?

    Started by Mama Malaika in MAPENZI. Last reply by Chalii_a.k.a_ILYA May 17. 21 Replies

    Wewe una mtazamo upi kuhusu hili?!

    Started by Chalii_a.k.a_ILYA in JAMII. Last reply by Chalii_a.k.a_ILYA May 12. 10 Replies

    virginia international universityC

    Started by Alex John Luketa in JAMII May 10. 0 Replies

    Baraza Jipya, Mawaziri Wapya au Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri?

    Started by Lyehagi Mazuli Mhuli Jr. in SIASA. Last reply by Cha the Great May 8. 1 Reply

    Wivu mbaya:

    Started by Omary in MAPENZI. Last reply by Dixon Kaishozi May 2. 14 Replies

    HALI TETE TULONAYO.

    Started by Lyehagi Mazuli Mhuli Jr. in JAMII. Last reply by Lyehagi Mazuli Mhuli Jr. May 1. 3 Replies

    Mauaji haya yanaashiria nini?

    Started by Lyehagi Mazuli Mhuli Jr. in JAMII. Last reply by Lyehagi Mazuli Mhuli Jr. May 1. 3 Replies

    Hivi hii ni haki kweli?

    Started by Lyehagi Mazuli Mhuli Jr. in SIASA. Last reply by Lyehagi Mazuli Mhuli Jr. May 1. 3 Replies

    Ulivyokua mtoto ulikua na tabia gani?

    Started by Holiness Bangereza in JAMII. Last reply by manka Apr 30. 17 Replies

    Juice ya Nanasi+Nazi ya kopo.

    Started by Holiness Bangereza in JAMII. Last reply by Holiness Bangereza Apr 30. 3 Replies

    TAMU YA KARANGA na NAZI

    Started by Holiness Bangereza in JAMII. Last reply by Holiness Bangereza Apr 30. 4 Replies

    HASARA YA KUTOKUSOMA

    Started by Omary in JAMII. Last reply by Christer Christopher Apr 29. 3 Replies

    Je utampenda?

    Started by Holiness Bangereza in JAMII. Last reply by Holiness Bangereza Apr 23. 22 Replies

    Minister's of Human Body

    Started by Christer Christopher in JAMII. Last reply by Holiness Bangereza Apr 22. 7 Replies

    Hadithi! hadithi: Hadith njoo, uongo njoo utamu kolea

    Started by Holiness Bangereza in JAMII. Last reply by Holiness Bangereza Apr 22. 15 Replies

    Hai

    Started by Joseph mosabi in JAMII Apr 17. 0 Replies

    Ladies!! Jiangalie Mungu alivyokuumba kabla hujavaa

    Started by Holiness Bangereza in JAMII. Last reply by Holiness Bangereza Apr 17. 5 Replies

    © 2012   Created by Tulonge.

    Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service